Hosea 4:15


15 a“Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli,
Yuda naye asije akawa na hatia.

“Usiende Gilgali,
usipande kwenda Beth-Aveni
Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.

Wala usiape,
‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
Copyright information for SwhNEN